top of page
 Leseni ya Morning star Televisheni yatolewa

 

Hatimaye leseni ya kuruhusu utangazaji  wa kituo cha utangazaji cha televisheni. Akitoa taarifa hiyo ,mkurugenzi wa Tanzania Adventist Media Center amesema leo leseni imetolewa na shirika la mawasiliano TCRA  ambayo  ni hatua  muhimu  na kilichobaki ni kufanya uzinduzi wa kituo ambayo itatangazwa siku yoyote kuanzia leo tarehe 26/02/2014...............

Mkutano mkubwa wa Union mission ya Tanzania kusini

Mkutano mkuu wa Union mission ya kusini unatemea kufanyika  tearehe 12 march . mambo yatakayojadiliwa ni pamoja na namna ya kufanikisha mkutano mkuu wa injili unaotegemea kufanyika mwezi mei katika viwanja vya PTA Sabasaba.

Kifungu cha leo

“Kila andiko lenye pumzi ya Mungu lafaa kwa mafundisho na kwa kuwaonya watu makosa yao na kwa kuwaongoza na kwa kuwaadibisha katika haki (2Tim 3:16)."

Website za kanisa

Fuatilia kurasa zetu katika mitando ya kijamii

East Central Division

  • Wix Facebook page
  • Wix Twitter page
  • Wix Google+ page

Vituo vya TAMC

 
mtizamo wetu

kutangaza injili hata miisho ya dunia "Enendeni ulimwenguni kote mkawafanye wote kuwa wanafunzi wangu Mat 28:19 "

  • Wix Facebook page
  • Twitter Classic
  • morning radio.jpg

2014© for Tanzania Adventist Media Center

Tunapatika mikocheni B
bottom of page